Almasi Mswahili

Wednesday, 17 August 2016

WAZIRI WA ELIMU ATOA WIKI MOJA VYUO VIREJESHE FEDHA

Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Prof. Joyce Ndalichako ametoa siku saba kwa vyuo vikuu vilivyopokea fedha za wanafunzi ambao hawapo vyuoni kwa mwaka wa 2015/16 kuzirejesha wizarani mara moja.

Taarifa hiyo ameitoa jana jijini Dar es Salaam mbele ya maafisa kutoka wizarani mwake,pamoja na kaimu mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo.

No comments:

Post a Comment