Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Prof. Joyce Ndalichako ametoa siku saba kwa vyuo vikuu vilivyopokea fedha za wanafunzi ambao hawapo vyuoni kwa mwaka wa 2015/16 kuzirejesha wizarani mara moja.
Taarifa hiyo ameitoa jana jijini Dar es Salaam mbele ya maafisa kutoka wizarani mwake,pamoja na kaimu mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo.
No comments:
Post a Comment